AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii kutoka Lebo ya WCB na CEO wa Lebo ya NML, Rayvanny ameonekana kwenye video akila kiapo cha damu na mrembo Paula Kajala.
Wawili hao wameonesha kusisimkia mapenzi yao huku wakithibitisha hadharani kwamba hawataachana.
Safari hii Rayvanny na Paula Kajala wameenda mbali kwa kuachia wimbo wa pamoja na kuelezea kuwa hawataachana huku video vixen akiwa ni Paula.
Cc; @sifaelpaul #globalpublishersupdates
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK