Makubwa..Rayvanny na Paula Wala Kiapo Cha Damu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Msanii kutoka Lebo ya WCB na CEO wa Lebo ya NML, Rayvanny ameonekana kwenye video akila kiapo cha damu na mrembo Paula Kajala.

Wawili hao wameonesha kusisimkia mapenzi yao huku wakithibitisha hadharani kwamba hawataachana.

Safari hii Rayvanny na Paula Kajala wameenda mbali kwa kuachia wimbo wa pamoja na kuelezea kuwa hawataachana huku video vixen akiwa ni Paula.
Cc; @sifaelpaul #globalpublishersupdates
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad