Manara Achana na Simba, Huibomoi Unaisaidia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Ningekuwa Kiongozi wa Yanga, ningemwambia Manara “stick to our brand and not otherwise”.. Yaani simamia chapa yetu na sio vinginevyo.

Wataalamu wa Chapa na Masoko wanasema “there’s no such a thing as bad publicity” yaani Hakuna jambo baya linaloikuza chapa, hata kama ni baya kwenye macho ya kawaida, ni zuri kwenye masoko.

Watu wa Yanga so far wanafeli
Manara anaisaidia Simba kuliko Yanga mpaka sasa. Ni mwajiriwa wa Yanga anayeisaidia Simba.

Simba wanaenjoy anavyowataja, anavyozisema jezi zao, anavyosema matangazo yao. Kwenye masoko ukiwa Simba unapunguza na budget ya Influencers kabisa kwa sababu Yanga wanakulipia kwa Manara

By Kotinyotz
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad