Mange Kimambi Afunguka Baada ya Sonia wa Monalisa Kusema Havijui VYUO vya Tanzania na Wala Hawezi Kusoma Hapa Tanzania

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mange Kimambi Ameandika haya Kupitia ukurasa wake wa Instagram kuhusu mtoto wa Monalisa kuvipondea vyuo vya Tanzania:

 "Wabongo, sometimes tujifunze kusikiliza kitu anachoongea mtu na kumuelewa.

Huyu mtoto hajavidharau vyuo vya bongo. Mbona kasema kabisa sababu ya kwenda nje ni kuepuka shari za walimwengu. 

Which is true huyu binti kuna watu wanaweza hata kumuwinda tu hata wampige picha za uchi au wafanye nae video za I love you daddy alafu walete mitandaoni ili mradi wapate kiki. Sasa kuepuka yote hayo ni bora aende mbali huko.

Hata mimi kusema ukweli, kwa hivi nilivyo yule mwanangu angekuwa anasoma chuo bongo sidhani kama ningekuwa na amani. Yani lazma kuna watu wangemtafuta wafanye kitu ili mradi ni mtoto wa Mange. Bora huko mbali nani anamjua Mange?

Alafu pia mkumbuke huyu ni mtoto bado. Tatizo mnataka na yeye awe na ujuzi wa kujibu maswali au awe na busara kama zenu nyie vigagula. Nyie mlipokuwa age yake mlikuwa mnaongea vitu vya busara muda wote? Illibidi muipotezee na mumchukulie kama mtoto ila wabongo mnataka sasa kumbully, sijui mpoje sometimes" Mange Kimambi

TANGAZA hapa Wasiliana nasi 0714604974 
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad