AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Jaji Francis Mutungi, amevitaka vyama vya siasa nchini kusimamisha makongamano na mikutano ya kisiasa kwa muda ili kupisha mazungumzo baina ya vyama vya Siasa, Polisi na Ofisi ya Msajili ili kutafuta suluhu ya mikutano na makongamano.
Jaji Mutungi ameeleza kushtushwa na kitendo cha polisi kujazana na mabomu katika kila mkutano wa chama cha siasa nchini jambo linaloleta taswira hasi kuwa hali ya kisiasa nchini si shwari wakati si kweli.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK