AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ameandika;- ‘’Niliwahi kusema napumzika kufanya filamu na nitabaki kwenye tamthilia..lakini sasa Nafikiria kupumzika pia kuigiza na nitabakia nyuma ya camera kama Producer na Director
Tamthilia yangu ya #mwanamuzikiseries nafikiri itakuwa ndio ya mwisho..kuigiza..
Ni matumaini yangu kwenye kipindi chote
Tangu 1997 wakati naanza mambo hayo mpaka 2000 wakati naanzisha Jerusalem films umefurahia kazi zangu..lakini nakuahidi huo ni mwanzo tu..mengi mazuri yanakuja nikiwa nyuma ya camera’’
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK