AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanachana wa Klabu ya Yanga, Mzee Haji Mpili amesema kuwa kinachowakwamisha Yanga kufanya vizuri ni kuongea ongea mipango yao kwenye media.
Mzee mpili amedai kuwa klabu ya Simba imefanikiwa kwa sababu wao wanajiamini na wako serious na mambo yao hawatangazi mipango yao kwenye media.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK