Nás Escobar Afunguka "Nilipata Corona Ilinitesa sana, Dunia Tunapita Wakati Mbaya Sana"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Staa wa muziki wa HipHop, Nas kaongea kuhusu kuugua Corona, " "Nilipata COVID mwishoni mwa Oktoba mwaka jana, Hii ni mara ya kwanza naongelea jambo hili, nilipitia wakatu mgumu, Corono iliniathiri Kiakili na kimwili".

Nas aliendelea kuongea jinsi dunia ilivyobadilika nakusema "⁠Ulimwengu wa leo tu, vita kwa kutumia kemikali, siasa za hovyo, ubaguzi wa rangi, uhaba wa chakula, vitendo vibaya vya polisi, watu weusi wanauwana wenyewe kwa wenyewe, Roho ya mwanadamu inajaribiwa, Nadhani Mungu ana mpango na sisi, tuko katika wakati mbaya".

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad