Ni Simba Vs TP Mazembe kwa Mkapa Simba Day 2021

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Mabingwa wa Nchi, Simba SC imetangaza kucheza na miamba ya soka barani Afrika klabu ya TP Mazembe kutoka DR Congo kwenye siku ya Simba Day iliyopangwa kufanyika Septemba 19, 2021.



Simba itawakabili Mazembe kwenye mechi hiyo ya kirafiki ambayo pia itatumika kutangaza wachezaji wao wapya waliyosajiliwa msimu huu pamoja na burudani mbalimbali.

Itakuwa mara ya pili kwa Mnyama kukutana na TP Mazembe kwa mwaka huu, kwani wawili hao waliwahi kucheza Simba Super Cup na kutoka sare ya bila kufungana.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad