Nikk wa pili aibuka na hili “Hakuna majini yananyonya damua Kisarawe ni Ugonjwa”

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Baada ya kuwepo taarifa za baadhi ya wananchi wanaodai kuna majini yananyonya Damu Kisarawe, Leo DC wa wilaya ya Kisarawe Nickson Simon a.k.a Nikk wa Pili ameibuka na kusema sio kweli bali ni Ugonjwa wa Sickle Cell ambapo wilaya yake imezindua kliniki maalum kwa ajili ya uangalizi wa watu wanaoishi na ‘Sickle Cell’ kwa malengo ya kupunguza vifo vitokanavyo na maradhi hayo.


Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Nickson Simon ameeleza kwamba kliniki hiyo itasaidia wengi kwani kwa mtu ambaye haendi kliniki akiwa na ugonjwa huo, uwezekano wa kupoteza maisha ni 50% wakati yule anayeenda kliniki uwezekano wa kupoteza maisha unakuwa 7%.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad