Nimekuta Chupi Ya Mke Wangu Katika Chumba Cha Mdogo Wangu Wa Kiumeh8

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Kiwangadoctors wana dawa ya kurudisha mpenzi wako ariyekuacha,dawa ya Nguvu za kiume,dawa ya kusafirisha nyota yako,dawa ya mvuto wa Biashara,dawa ya kupata kizazi,dawa ya mapenzi pamoja
dawa ya kushinda michezo ya batinasibu.wasiliana na kiwangadoctors kwa piga namba ya simu +254 769404965, barua pepe kiwangadoctors@gmail.com. Pia unaweza temberea website yao 
 kupata taarifa zaidi na jinsi wanavyosajdia watu.


Jina langu ni Rwakatare mkazi wa Mwanza pia mke wangu anaitwa Juriana mwenye umri wa miaka 
27.Mwenyezimungu katujaria tuna mtoto mmoja wa kike.

Mwaka 2018 nirimfunguria mke wangu duka ya kuuza nguo za kiume na kike.mke wangu arifanya kazi kwa bidii kubwa sana adi duka yetu ikapanuka sana japo mimi nirizidi kufanya kazi yangu ya kusafirisha maharagwe kutoka mwenza kwenda mikoa  mbalimbali hapa nchini.

Kutokana na kazi yangu hivyo nirikuwa nasafiri mara kwa mara mwaka 2019 mdogo wangu wa kiume arihitimu kidato cha sita kisha nikaamua kumreta nyumbani ili aweze kusaidiana na mke wangu dukani.

Nirimtumia nauri ya kutoka kijijini kwetu adi mwanza kisha nikamtumia dreva wangu akapokea stand ya Nyegezi.Arifika salaama nyumbani kwangu nikamuonesha Chumba yake ya kulala.Jinsi Biashara ya nguo inavyoenda dukani.

Walisaidiana mke wangu pamoja na wafanyakazi wengine katika kufanya shughuri zao za kila siku.

Kwa Upande wangu mimi nirikuwa siendi dukani mara kwa mara japo nikipata mda nirikuwa nawatemberea na kuona jinsi gani Biashara inavyoenda.


Mwezi moja kupita turifanya maesabu ya mwezi nikaona kuwa Biashara inakuwa kwa kasi kubwa sana kutokana na ushirikiano wa mke wangu na mdogo wangu,nikaamua kuongeza million 3 tena katika hiyo Biashara hivyo wakaanza kuuza jumla na rejareja kwa wateja wao.


Kutokana na kupanda kwa Biashara kila mwezi mdogo wangu roja arikuwa anapata laki 3 kwa ajiri ya matumizi yake Binafsi.

Nilifanya hivyo ili mdogo wangu asikose kitu chochote anachokiitaji pia kupitia nafasi hiyo aweze kuanzisha Biashara yake mwenyewe mda ukifika kutokana na matokeo yake ya kidogo cha sita hayakumpatia nafasi ya kujiunga na masomo ya elimu ya juu.


Mke wangu Juriana na Mdogo wangu Roja wariweza kuwa karibu sana kutokana na kufanya Biashara pamoja ila kwa Upande wangu sikuweza jua kama kuna kitu kinaweza enderea kati yao zaidi ya Biashara tu.

Mimi nirienderea na safari zangu za kila mara kama kawaida yangu nikimuacha mke wangu na mdogo 
wangu wakienderea na kazi zao.


Siku moja nilitoka safari kisha nikawapitia dukani na kuwasubiri wafungu mda ukiwadia ili turejee 
nyumbani wote.mda uritimia kisha wakafunga duka na tukarudi nyumbani.Turipofika nyumbani niriweza pumzika kidogo na mke wangu na badae nikaenda chumbani kwa mdogo wangu Roja kwa ajiri ya kumpatia nguo zangu aninyoshee ambazo ntavaa kesho yake asubui.


Baada ya kumkabithi nguo zangu aritoa shuka la kutumia kwa ajiri ya kunyoosha nguo ndipo niriona 
chupi ya mke wangu kitandani kwake.Niripomuuliza chupi ya mke wangu inafanya nini kitandani kwake akasema ata yeye ajui nani kaireta Kwenye Chumba yake.Mimi nirichukua ile chupi adi chumbani kwetu kisha nikazuri tukimariza kula nimuurize mke wangu. 


Baada ya chakula turianza mbadirisha mawazo na mke wangu ndipo nikamuonesha chupi yake na kuumiza ilikuwa inafanya nini kwa Chumba ya Roja.mke wangu aricheka kisha akanambia kuwa mtoto wetu Rita ndo ana tabia ya kubeba nguo zake kutoka chumbani kwa sababu ameanza kutembea,hivyo kila anachokutana nacho anabeba tu.

Sikuweza mkataria mke wangu kutokana na maelekezo  ariyonipatia ila moyo wangu uribaki na wasiwasi na kujiuriza mbona mtoto wangu Rita akubeba nguo nyingine zaidi ya chupi,kama amebeba chupi mbona ajaiweka sebreni.


Kutokana na hayo maswali ilinibidi nianze kuwafatiria mke wangu na mdogo wangu bira wao  kujua.

Ndipo siku moja nikwambie mke wangu kuwa nasafiri kwenda Karagwe kwa ajiri ya kununua 
maharagwe hivyo ntaa Kule siku saba ,ila mimi sikuweza fika karagwe bari niribaki mwanza ili nijue nikitoka kipi uwa kinaenderea nyumbani.


Baada ya siku tatu nirirudi nyumbani usiku bira wao kunitarajia kisha nikamuomba mdogo wangu Roja simu yake kisha nikaenda moja kwa moja kwa WhatsApp na kukutana na picha za uchi za mke wangu pamoja messages arizokuwa wanatumiana,hapo ndo nilijua kuwa walikuwa wanashiriki tendo la ndoa kwa mda mrefu ata chupi kuwepo kwa chuoa ya Roja siyo mtoto wangu Rita arichukue Kule
Je nifanye nini,nimfukuze mke wangu au nimfukuze mdogo wangu? Je nikimfukuza mdogo wangu nyumbani watanifikiriaje hali ya kuwa Baba yetu arifariki na kuniomba niwalee wadogo zangu. Naomba ushauri wenu.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad