Rais Samia Amwaga Ajira Mpya za Askari 2300 kwa vyombo vya Usalama vya Wizara ya Mambo ya ndani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akizungumza na viongozi wakuu wa utawala wa Vyombo vya Usalama vilivyopo chini ya Wizara yake, wakati alipokuwa akimshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutoa ajira mpya za askari 2,300 kwa Vyombo hivyo, jijini Dodoma, leo Septemba 24, 2021. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.




Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (meza kuu) akimsikiliza Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Lulu Zodo alipokuwa akizungumza katika kikao chake na viongozi wakuu wa utawala wa Vyombo vya Usalama vilivyopo chini ya Wizara yake, wakati alipokuwa akimshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutoa ajira mpya za askari 2,300 kwa Vyombo hivyo, jijini Dodoma, leo Septemba 24, 2021. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad