Rapper Nonini ajitosa kwenye biashara ya viatu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Hitmaker wa "Manzi wa Nairobi", Rapper Nonini kutoka nchini Kenya amegeukia biashara ya viatu baada ya kufanya muziki kwa muda mrefu.
Miezi minne iliyopita, Nonini alisafiri mpaka Marekani kwa ajili ya kufanya shughuli za kibunifu na kuzalisha bidhaa zake kama viatu, kofia, suti na saa kupitia chapa yake ya mitindo ya Mgenge2Ru.



-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad