AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hitmaker wa "Manzi wa Nairobi", Rapper Nonini kutoka nchini Kenya amegeukia biashara ya viatu baada ya kufanya muziki kwa muda mrefu.
Miezi minne iliyopita, Nonini alisafiri mpaka Marekani kwa ajili ya kufanya shughuli za kibunifu na kuzalisha bidhaa zake kama viatu, kofia, suti na saa kupitia chapa yake ya mitindo ya Mgenge2Ru.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK