Rosa Ree "Wanawake Tuna Nguvu na Uwezo Mkubwa Kuliko Wanaume Ndio Maana Wanatudidimiza"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Female Rapper wa hapa Bongo Rosa Ree katika kipindi cha Malavidavi (Wasafi Tv)alikingia wanawake wenzake kifua na kusema wanawake wanauwezo zaidi kuliko wanaume.

Katika mahojiano hayo amaefunguka haya:
"Inabidi watu wawape wanawake the same respect ambayo wanawapa wanaume is not more kwa sababu men are stronger than woman buh wanawake wanauwezo mkubwa kuliko wanaume na hakuna mtu anayetaka kudiscuss hii topic ndo maana dunia nzima watu wanapenda kuwapool down wanawake kwa sababu kwa sababu wanaogopa uwezo wawanawake"-Ameongea Rosa Ree


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad