“Rais mwanamke tutamuweka madarakani mwaka 2025 -Rais Samia Suluhu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




“Rais mwanamke tutamuweka madarakani mwaka 2025. Wameanza kutuchokoza kuandika kwenye vijigazeti kwamba Samia hatosimama, nani kawaambia?”-.



“Mtaendelea kusikia wanawake zaidi wanaingia kwenye serikali kwa sababu ninajua nisipofanya mimi, hakuna atakakuja kufanya… Tukianza hapa, atakayekuja kuvuruga huo mfumo, tutamsuta, kwa hiyo bora tuanze halafu waje waguse watuone sisi ni kina nani.”

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad