Said Ndemla atambulishwa Mtibwa Sugar

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



UONGOZI wa Mtibwa Sugar umemtambulisha rasmi nyota Said Ndemla kuwa mali yao kwa msimu mmoja.
Ni usajili wa mkopo kwa mzawa huyo ambaye alikuwa anakipiga ndani ya kikosi cha Simba.

Taarifa rasmi kutoka Mtibwa Sugar imeeleza kuwa nyota huyo ana hadhi ya juu kabisa na atakuwa hapo kwa muda wa mwaka mmoja.

Mtibwa Sugar ambayo inatarajiwa kuwa chini ya Kocha Mkuu, Hitimana Thiery huu unakuwa ni usajili wake wa kwanza kuutambulisha kwa mashabiki wake baada ya dirisha kufungwa Agosti 31
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad