Salama Jabir Aacha Kazi EATV, Ahusishwa Kujiunga na Simba Kama Msemaji

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mtangazaji nguli nchini na kipenzi cha wengi, Salama Jabir jana alitangaza kuachana na kituo cha EATV ambacho amefanya kazi hapo kwa muda wa takribani miaka 19 huku sababu kuu ikiwa ni kwenda nje ya media hiyo kuona pia hali ikoje.

Salama amekuwa EATV kwa muda mrefu akijizolea umaarufu zaidi na vipindi kama Mkasi ✂, Shabiki On Saturday (SOS) pamoja na kipindi cha SALAMA NA..

Lakini tetesi zimekuwa nyingi mitandaoni kuwa uwenda akawa msemaji wa klabu ya Simba SC japo mwenyewe amekataa kuwa si kweli na yeye anaziona habari hizi kwenye mitandao ya kijamii kama tunavyoona sisi.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad