Samia Suluhu Afunguka "Kuna Waliochukulia Upole Wangu Kama Udhaifu"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema "Katika miezi 6 ya urais wangu, nilikuwa mkimya na mtulivu nikisoma Wizara zinavyoendeshwa. Wakati mimi nawasoma, na wao walinisoma. Kati yao, kuna waliochukulia ukimya na utulivu wangu kama udhaifu wakaanza kufanya yanayowapendeza"

Amewataka walioapishwa leo kwenda kufanya kazi vizuri akisisitiza “uteuzi wenu hauna maana kwamba ninyi ni wazuri kuliko wengine, uzuri wenu utaonekana katika utekelezaji wa majukumu yenu"

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad