SERIKALI YATOA TSH. BILIONI 212.95 KWA MALIPO YA AWALI YA NDEGE

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema Serikali imelipa malipo ya awali ya Tsh. bilioni 212.95 kwa ajili ya Ndege 5, katika Mradi wa kufufua Shirika la Ndege

Pia, Serikali imetoa Tsh. Bilioni 50 kwa Mradi wa Reli na Tsh. Bilioni 50 kwa Mradi wa Kufua Umeme wa Bwawa la Mwalimu Julius Nyerere

Ametoa kauli hiyo leo, Septemba 4, 2021 alipokuwa anazungumza na Waandishi wa Habari na kujibu maswali ya Wananchi Jijini Dodoma
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad