AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema Serikali imelipa malipo ya awali ya Tsh. bilioni 212.95 kwa ajili ya Ndege 5, katika Mradi wa kufufua Shirika la Ndege
Pia, Serikali imetoa Tsh. Bilioni 50 kwa Mradi wa Reli na Tsh. Bilioni 50 kwa Mradi wa Kufua Umeme wa Bwawa la Mwalimu Julius Nyerere
Ametoa kauli hiyo leo, Septemba 4, 2021 alipokuwa anazungumza na Waandishi wa Habari na kujibu maswali ya Wananchi Jijini Dodoma
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK