Shabiki Simba aweka nyumba wakifungwa na Yanga

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Shabiki wa Simba MC Mishepu amefunguka kuweka nyumba yake yenye thamani ya Tsh Milioni 300 endapo Simba akifungwa na Yanga kwenye mchezo wa ngao ya jamii siku ya Septemba 25.


Picha ya shabiki wa Simba MC Mishepu na nyumba yake
MC Mishepu ambaye anakaa Kijitonyama Dar es Salaam anasema amefanya hivyo kwa sababu aamini Yanga hawezi kumfunga Simba na ikitokea hivyo wamfuate atatoa hati za nyumba na kuwakabidhi mashabiki wa Yanga.

Zaidi mtazame hapa kwenye video akizungumzia hilo.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad