No title

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Siku chache baada ya kuachia smash hit yake “Away” aliyompa shavu Young Lunya, Maua Sama amepanga kuachia kolabo yake nyingine tena akiwa na mkongwe T-Pain kutoka Marekani siku ya ijumaa.

Maua amerejea akiwa na nguvu mpya baada ya hivi karibuni kutangaza kuwa amepona matatizo yake ya kiafya yaliyokuwa yakimsumbua kwa takribani nusu mwaka na kuwa kimya kimuziki.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad