AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Siku chache baada ya kuachia smash hit yake “Away” aliyompa shavu Young Lunya, Maua Sama amepanga kuachia kolabo yake nyingine tena akiwa na mkongwe T-Pain kutoka Marekani siku ya ijumaa.
Maua amerejea akiwa na nguvu mpya baada ya hivi karibuni kutangaza kuwa amepona matatizo yake ya kiafya yaliyokuwa yakimsumbua kwa takribani nusu mwaka na kuwa kimya kimuziki.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK