Simba Day Bila Diamond Platnumz na Manara

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


"Simba day" ya leo ,imekosaa wahamasishaji wakubwa wawili @hajismanara @diamondplatnumz

Inawezakana mashabiki wakaenda kwa kiasi chake lakini itakosa vibe..
👉Hawa majamaa wawili walikua wanalet vibes sanaa..na ndio walio sababisha msemo wa "acheni ni wakere" uwakele kweli watu..hasa hasa wapinzani wa Simba..

👉Simba day ,imepoa toka siku ya kwanza kutangazwa!. nikwasababu imekosa wahamasishaji wakubwa.

👉 Mashabiki wa Simba wasio an uelewa mkubwa wanakimbiria kutukana

Lakini ukwelii wanaujua kabisaaa.kwamba kuna kitu kweli hakijakaa sawaaa.
👉Madhara ya hiki kitu tutakiona baada ya Simba day..
👉Watu mdogo mdogo,wanaikimbia simbaaa..

USHABIKI USIOUMIZA


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad