Simba na Yanga kukutana Desemba 11 Ligi Kuu Tanzania Bara

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA






Watani wa jadi, Simba na Yanga watakutana Desemba 11 katika mchezo wa mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa ratiba Kuu msimu wa 2021-2022 iliyotolewa leo, mechi ya kwanza kabisa ya msimu itachezwa Septemba 27 baina ya Mtibwa Sugar na Mbeya City Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad