Toleo jipya la simu ya Apple- iPhone 13 kuwa na picha yenye muundo wa video

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Apple imetangasa simu yake mpya iPhone 13, inayoweza kuchukua filamu ya "muundo wa picha".

Muundo huo mpya wa sinema"una uwezo wa kung’amua kwamba mtu fulani anakaribia kujipiga picha" na kujielekeza kwake, Apple imesema – kitu hicho kinaitwa "pull focus".

Ni simu pekee ya smartambayo huwaruhusu watumiaji kuhariri picha zake baada ya kupiga picha, amesema mkuu wa Apple Tim Cook.

Hatahivyo, mengi katika muundo mpya wa simu ni maboresho ya simu zake za awali.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad