Wahuni Wafukua Kaburi la Marehemu Pop Smoke Kutaka Kuiba Jeneza

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kaburi la Marehemu Pop Smoke Imeripotiwa Kuwa Limevunjwa na Watu Wasiojulikana Wakijaribu Kuiba Jeneza. Tmz Imethibitisha Hilo Baada Ya Ku-share Picha Zilizoonesha Namna Lilivyovunjwa Huko Brooklyn New York

Pop Smoke Aliuawa Baada Ya Kuvamiwa nyumbani kwake Hollywood Hills na vibaka wawili waliokuwa wamevalia Mask usoni, kisha kumshambulia kwa risasi mfululizo.

Alifariki dunia Februari 19, 2020 baada ya kufikishwa katika hospitali ya Cedars-Sinai Medical Center mjini West Hollywood

Kwa Habari Zaidi, Usiache Kutembelea Youtube Channel Yetu Ya Swahili Media

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad