Wanafunzi wa Kike na Kiume Watenganishwa Kwa Mapazia Vyuoni Afghanistan

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Wanafunzi Nchini #Afghanistan wamerudi vyuoni na kukutana na mabadiliko katika Utawala wa #Taliban ambapo Wanawake wametenganishwa na Wanaume kwa mapazia au mbao katika Madarasa

Aidha, kwa Utaratibu mpya Wanawake wanapaswa kuondoka dakika tano kabla ya Wanaume ili kuzuia kuchangamana. Wasichana wataruhusiwa kuingia Darasa ikiwa watakuwa wamevaa Abaya, Nikab, Hijab pamoja na Baibui

Wanafunzi Nchini humo walisitisha Masomo kwa miezi kadhaa kutokana na Hali ya Kisiasa iliyokuwa ikiendelea kati ya Serikali na Kundi la Taliban

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad