AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wanafunzi Nchini #Afghanistan wamerudi vyuoni na kukutana na mabadiliko katika Utawala wa #Taliban ambapo Wanawake wametenganishwa na Wanaume kwa mapazia au mbao katika Madarasa
Aidha, kwa Utaratibu mpya Wanawake wanapaswa kuondoka dakika tano kabla ya Wanaume ili kuzuia kuchangamana. Wasichana wataruhusiwa kuingia Darasa ikiwa watakuwa wamevaa Abaya, Nikab, Hijab pamoja na Baibui
Wanafunzi Nchini humo walisitisha Masomo kwa miezi kadhaa kutokana na Hali ya Kisiasa iliyokuwa ikiendelea kati ya Serikali na Kundi la Taliban
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK