Wanahabari Wapata Ajali Geita

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Waandishi wa habari mkoani Geita, Consolata Evarist wa Global TV, Esther Sumira wa Azam TV na Muta Robert wa Majira, wamenusurika kifo katika ajali baada ya gari aina ya Pajero Mitsubish waliyokuwa wanatumia kuacha njia na kuanguka.

 

Consolata na wenzake walikuwa wanaelekea Wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita kutafuta habari ambapo walipata ajali hiyo wakiwa hawajafika safari yao.

 

Akizungumza na Global TV Online, Consolata alisema, wanamshukuru Mungu kwani licha ya gari walioyokuwa wakitumia kuanguka lakini wao wametoka salama zaidi wamepata maumivu madogo madogo.

 

Alisema baada ya kutoka salama, taratibu za kipolisi zimefanyika na wao kuweza kuendelea na majukumu yao ya kazi.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad