Wizara ya afya yamsaka aliyemshona na kumfumua mshono mgonjwa kwa kushindwa kulipia gharama

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Wizara ya afya nchini Tanzania imeeleza masikitiko yake kuhusu mtaalam mmoja wa afya aliyemshona mgonjwa jeraha  na kisha kulifumua kwa madai kuwa hakuweza kulipa gharama.
Video ya mtaalam huyo ambaye kituo chake cha afya hakijafahamika imesambaa mitandaoni na kuibua hali ya sintofahamu jambo ambalo wizara hiyo imelitolea tamko leo Jumamosi Septemba 4, 2021.

"Ikiwa hili limetokea nchini basi ni ukiukwaji mkubwa wa huduma za kitabibu. Hivyo, wizara inaomba wenye taarifa za wapi  au kituo gani wawasilishe mara moja kwa namba ya huduma kwa mteja 199 ya wizara ya afya au watume ujumbe mfupi kwenye namba ya waziri wa afya ya 0734124191, " inaeleza sehemu ya taarifa hiyo.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad