Wizkid Ametumbuiza Jukwaa Moja na Justin Bieber

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Wizkid ametumbuiza Jukwaa moja na Justin Bieber kwenye tamasha la Made In America lililofanyika wikendi iliyomalizika mjini Philadelphia nchini Marekani. Wakali hao waliuchapa kwa pamoja wimbo wao "Essence Remix" kwa mara ya kwanza.

Wizkid alikuwa mtumbuizaji mualikwa wa JB kwenye onesho hilo, ni muendelezo wa maajabu ambayo kila uchwao amekuwa akiyafanya kupitia album yake 'Made In Lagos' lakini hasa kupitia wimbo wake #ESSENCE ambao unasumbua kwenye chart za Billboard Hot 100.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad