''Madini ya Tanzanite yalikuwa yanazagaa tu Kila Nchi" Rais Samia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema ni wakati sasa madini ya Tanzanite yatambulike kuwa yanapatikana nchini Tanzania pekee, tofauti na zamani ambavyo yalikuwa yanazagaa kila nchi.


Rais Samia ameyasema hayo leo Agosti 5, 2021 wakati akiongea na wananchi wa Mirerani Simanjiro waliofurika nje ya ukuta wa Mirerani ambapo Rais atakuwa anarekodi filamu maalum itakayoonesha vifutio vya Tanzania.



''Huko nyuma Tanzanite yetu ilikuwa inazagaa tu, ukienda Kenya kuna Tanzania, Sijui Singapore Tanzania, India, inauzwa tu ovyo ovyo. Sasa tunataka tuwaambie ulimwengu kuwa Tanzanite kwao ni hapa'' - Rais Samia Suluhu.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad