Yanga kuwakosa wachezaji watatu wa kimataifa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Msemaji wa klabu ya Yanga, Haji Manara amesema, Yanga itawakosa wachezaji watatu (3) wa kimataifa kuelekea mchezo wa klabu bingwa Afrika dhidi ya Rivers United ya Nigeria.

Wachezaji hao ni Djuma Shaban, Khalid Aucho na Fiston Mayele ambao I.T.C zao zimechelewa kutokana na mikataba ya wachezaji hao ilikuwa ikitamatika Agosti 30.

“Kwa mujibu wa taratibu za CAF klabu ilichelewa kuwasilisha majina yao katika kikosi chetu cha kushiriki michuano ya klab
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad