Ali Kiba Akimbiza Huko YouTube, Ashika Namba 1,2 na 3

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mkali wa muziki wa BongoFleva @officialalikiba kupitia album yake ya #OnlyOneKing ameweza kuuteka mtandao wa YouTube upande wa trending tab kwa hapa Tanzania.

Kiba ameweza kufanya hivyo kwa kuingiza nyimbo 3 kwenye YouTube trending tab hapa nchini, akiingiza nyimbo katika nafasi ya kwanza mpaka ya 3 ambazo ni Oya Oya, Bwana mdogo ft @patorankingfire na Niteke ft @blaqdiamond150 .

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad