Amuua Mkewe Baada ya MKE Kumwambia Kuwa Hajiwezi Kitandani...

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Stephen Nyangeri Mauti mwenye miaka 25 amefikishwa Mahakamani kwa tuhuma za kumuua mkewe, Faith Nyatich kwa kumkaba Koo

Inadaiwa wawili hao walifunga Ndoa Agosti 2021 na miezi miwili baadaye Ndoa hiyo iligeuka kuwa chungu na Faith alipata Mwanaume mwingine anayeishi Kaunti ya Kajiado

Nyangeri alikuwa akimsihi Mkewe asiondoke na Faith alimfokea na kumkejeli Nyangeri akimtusi, “Wewe hujiwezi kitandani. Wewe ni bwege tu ndio maana nilikutoroka.”
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad