Facebook Kubadili Jina

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Kampuni kubwa ya mtandao wa kijamii wa Facebook inapanga kubadilisha jina la kampuni yake kuanzia wiki ijayo ili kuonesha mabadiliko yake kwa lengo la kujenga kile kinachoitwa “Metaverse”.

Afisa mkuu mtendaji wa Facebook, Mark Zuckerberg ana mpango wa kuzungumzia juu ya mabadiliko ya jina na kuweka wazi jina jipya kwenye mkutano wa kila mwaka wa kampuni hiyo wa “Annual Connect Conference” tarehe 28 Oktoba mwaka huu.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad