Kim, Kanye Wanaswa Tena live

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




KIM Kardashian na Kanye West wamerudiana? Hilo ndilo swali linaloendelea kuumiza vichwa vya wapenzi wa habari za mastaa baada ya wawili hao kunaswa wakiwa pamoja.

Inaeleweka kuwa Kim na Kanye waliachana miezi michache iliyopita lakini hii ya kuonekana wakiwa wametoka kupata chakula cha usiku katika moja ya migahawa maarufu mjini Malibu, Marekani.

Hata baada ya kupata msosi, walipanda gari moja na kutokomea wakiwa na marafiki zao, jambo lililoacha minong’ono kuwa wamerudiana.

Kuachana kwao ilikuwa habari kubwa mwanzoni mwa mwaka huu, ikikumbukwa kuwa waliishi kwenye ndoa yao kwa miaka saba.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad