Muna Love atishia Kujicharanga Mwili mzima

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





MWIGIZAJI wa Bongo Movies na mfanyabiashara, Rose Nungu almaarufu Muna Love anasema kuwa, anaona baadhi ya watu wamezidi kumshambulia kuhusiana na kujifanyia upasuaji sehemu mbalimbali za mwili wake, lakini ametishia kuwa ni bora wakanyamaza kwa sababu anaweza kujicharanga mwili mzima.

Akizungumza na Gazeti la IJUMAA akiwa nchini Uturuki baada ya kufanyiwa upasuaji wa mdomo, Muna anasema kuwa, watu wamuache na maisha yake maana kila kitu anachofanya ni kwa ajili yake na siyo maisha ya mtu mwingine.

“Waniache, wasinichukize maana naweza kujifanyia upasuaji mwili mzima na wasiniambie kitu chochote, waniache kwani ndiyo furaha yangu, waniache,” amefoka Muna ambaye mbali na mdogo pia hivi karibuni alifanya upasuaji wa kujiwekea dimpozi mashavuni.

STORI; IMELDA MTEMA, DAR
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. HELLO GET OUT OF FINANCIAL MESS WITH THE HELP OF drbenjaminfinance@gmail.com

    I have been in financial mess for the past months, I’m a single mum with kids to look after. My name is REBECCA MICHAELSON, and am from Ridley Park, Pennsylvania. A couple of weeks ago My friend visited me and along our discussion she told me about DR BENJAMIN OWEN FINANCE of drbenjaminfinance@gmail.com that he can help me out of my financial situation, I never believed cause I have spend so much money on different loan lenders who did nothing other than running away with my money. She advised, I gave it a try because she and some of her colleagues were rescued too by this Godsent lender with loans to revive their dying businesses and paying off bills. so I mailed him and explain all about my financial situation and therefore took me through the loan process which was very brief and easy. After that my loan application worth $278,000.00USD was granted, all i did was to follow the processing and be cooperative and today I am a proud business owner sharing the testimony of God-sent Lender. You can as well reach him through the Company Email drbenjaminfinance@gmail.com

    THANK YOU VERY MUCH

    ReplyDelete

Top Post Ad