Mwijaku Akata Mzizi wa Fitina "Ni Kweli Shilole Hakuwepo Kwenye Ratiba ya Event ya Ali Kiba"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mtangazaji wa kipindi cha Leo Tena ya clouds FM @mwijaku ambae pia alikua mshereheshaj katika shughuli ya @officialalikiba ya uzinduzi wa Album yake ya Only One King' amefunguka kuwa ni kweli @officialshilole hakuwepo kwenye utaratibu wala ratiba ya kuzungumza katika shughuli ile.

Mwijaku ameeleza kuwa aliweza kumpatia nafasi #Shishi kwa mapenzi na mahaba yake binafsi na msanii huyo -kwa kuwa anaa mahusiano nae mazuri , lakini uongozi wa AliKiba ,utaratibu wala ratiba haikumtaja shilole kuzungumza ama kutambulisha wimbo wowote katika shughuli hiyo.

✍🏾@keviiiy.iam


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Kumekucha, aombe msamaha kwa kiba kwa ushudu alioubonga anakua akiropoka mpaka yasiyohusiana na maada

    ReplyDelete

Top Post Ad