Twaha Kiduku Amtaka Aliyempiga Dulla Mbabe "Nataka Lipiza Kisasi"



Bondia @twaha_kiduku amesema anamtaka yule Raia wa Congo aliyempiga Mtanzania @official_dullahmbabe

Twaha amewataka mapromota kuandaa pambano hilo haraka kwani ana kisasi cha kulipa na heshima ya kuweka.

Unasemaje mdau : Pambano liwepo au lisiwepo?

______

Usikose Elimu ya pesa ni muhimu mno,na zaidi ukilipia Tsh 1000 ebook hapo Chini unaweza kushinda Tsh Laki moja bofya HAPA



 

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Below Post Ad