Unaambiwa Mwamba Aliyekuwa na Konection ya TIWA Savage Alichukizwa na Kauli ya Tiwa na Kuamua Kuivujisha

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Baada ya Video ya ngono ya msanii Tiwa Savage kuvujishwa masaa machache toka awe jukwaani huko Jijini Lagos siku ya tarehe 18 mwezi huu,na kuwaambia watu kuwa hawatawahi ona video hiyo, inaaminika hii ndio reaction yake kwa mvujisha wa tape hiyo. Tiwa Savage alitumia Insta story yake akiandika

“Ulichukia nilivyoweza kumudu maelezo na kuwa mbele ya story kabla haijanigharimu na ninavyoweza kutania jukwaani kuhusu kitu ambacho ulifikiri kingeniharibia na kufanya nijisikie aibu.” Tiwa Savage

Kauli ya Tiwa kuwaambia watu kuwa hawawezi ona video yake ya ngono iliaminisha wengi kujua uwenda msanii huyo alikuwa kaumaliza msala na mwamba maconnection, kumbe ndio ilimkasirisha jamaa na kumwaga mboga hadharani. Na ndio video inayotafutwa zaidi kibongo bongo na watumiaji wa mitandao ya kijamii.

Lakini inaonekana Tiwa Savage halilitarajia hili na kutotaka limsumbue kabisa, ameendelea kufanya mabo yake huku akiwataarifu mashabiki zake kuwa ana jambo lake taree 24 mwezi huu.

Ikumbukwe mwanzoni mwa mwezi huu akiwa kwenye mahojiano ndani ya radio Power 105.1 na mtangazaji Angel Martnez huko Marekani, Tiwa Savage alikiri kuwa kuna mtu anahitaji pesa ili hasivujishe video yake ya ngono.


Majina ya Waliochaguliwa Kujiunga na Jeshi la Polisi, Names of Individuals Chosen to Join Tanzania Police Force

Tiwa alidai mtu ambaye anadate naye wakati huu alikosea kushare clip kwenye Snapchat na kupost video yao ya faragha,licha ya kufutwa haraka lakini tayari ilikuwa imetazamwa na watu wawili, na hapo mmoja wapo akatumia kama fursa ya kuvuna pesa huku akidai hawezi mpa pesa maana anayeweza akafanya mchezo wa kutaka pesa kila mara.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad