Baba Tale "Baba Levo, Juma Lokole na Mwijaku ni Wapumbavu"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mbunge wa Morogoro kusini mashariki Babutale ambaye pia ni manager wa Diamondplatnumz ameonyeshwa kutopendezwa na kinachofanya na babalevo
Mwijaku na Juma Lokole ambao wamekuwa machawa wa wasanii kiasi kwamba wamekuwa wakichonganisha kwa maneno wanamuziki

"Tuache kudhania tunaua sana ya muziki tupinge sana hawa wagombabishi na wachonganishi wachache, hawa ndio wapumbavu tuwaondoe katika Industry ya muziki hawachangamshi mziki kama watu wanavyodhani, tuwashawishi na kuwasupport wasanii wafanye vizuri" amesema Babutale

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad