AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mbunge wa Morogoro kusini mashariki Babutale ambaye pia ni manager wa Diamondplatnumz ameonyeshwa kutopendezwa na kinachofanya na babalevo
Mwijaku na Juma Lokole ambao wamekuwa machawa wa wasanii kiasi kwamba wamekuwa wakichonganisha kwa maneno wanamuziki
"Tuache kudhania tunaua sana ya muziki tupinge sana hawa wagombabishi na wachonganishi wachache, hawa ndio wapumbavu tuwaondoe katika Industry ya muziki hawachangamshi mziki kama watu wanavyodhani, tuwashawishi na kuwasupport wasanii wafanye vizuri" amesema Babutale
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK