google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Harmonize Kuingia Studio na 20 Percent Usiku wa Leo. | UDAKU SPECIAL

Harmonize Kuingia Studio na 20 Percent Usiku wa Leo.

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kulingana na post aliyoShare Kupitia insta story yake mwanamuziki @harmonize_tz usiku wa leo anakwenda kukamilisha ahadi yake aliyo itoa wiki kadhaa nyuma alipokua nchini marekani kuhusu kufanya kazi na mwanamuziki mkongwe #20percent.

Kupitia insta story yake Harmonize amepakia kipande cha video akiwa anasikiliza moja ya nyimbo za msanii huyo, na kuandika,↓
“Going in da studio with my brother 20% , Tonight Can't wait”

Msanii huyo mkongwe kwenye game ya BongoFleva ni moja kati ya wasanii wawili (pamoja na #diamondplatnumz) wanaoshikilia rekodi ya kushinda tuzo nyingi za 'KiliMusicAwards' katika usiku mmoja .

✍🏾@keviiiy.iam


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Umoja ni nguvu. Tajiri akifanya umoja na maskini wengi. Atawanyenyua maskini.. lakini yeye atadhoofika. Tunapendekeza afanye umoja na wakubwa wenzake. Haitakula sana kwake

    ReplyDelete

Top Post Ad