Huu Hapa Ndio Uchawi Anaoutumia Diamond Platnumz ili Kupata Mafanikio

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Watanzania wengi hawaamini mafanikio yanaweza kuja bila Uchawi, mara nyingi mtu akizungumzia mafanikio ya Diamond Kimuziki, Uchumi, kijamii, nakadharika, basi utasikiaa "aah yule ni Freemason, anatumia sana uchawi yule''
Ila ukweli ni kwamba mafanikio ya Diamond hayatokani na nguvu yoyote ya giza bali ni Jitihada zake mwenyewe. Kama Diamond kafanikiwa kupitia Uchawi, wasanii wangapi Tunapishana nao kwa waganga ila maisha yao hayabadiliki Daima na milele.



Uchawi wa Diamond ambao umefanya mpaka sasa amefanikiwa na anaendelea kufanikiwa zaidi ni:

-Kufanya kazi kwa Bidii.

-Nidhamu.

-Ujanja mwingi wenye Faida.

-Bingwa wa kutafuta Connection.

-Bingwa wa kutengeza attention na nchi nzima ikamzungumia yeye.

-Anajua Mashabiki zake wanataka nini, na kwa muda gani.


 
-Hariziki na alichonacho.

-Haogopi kuiga jambo Zuri na yeye kuongezea ubunifu wake.

-Anaamini katika Team Work.

-Anajua Biashara ya muziki.

-Anajua kulitumia vyema jina lake (Brand)

-Anauwezo wa Kubrand Wasanii wake na Wakamuingizia Faida Badae.


-Anapokea mawazo Mapya.

-Anajua Kutafuta pesa nje ya Muziki.

-Anajua alipotoka, hivyo hana mchezo kabisa katika masuala ya Kutafuta hela.



WASANII HAMNA BUDI KUPITA NJIA ANAZOPITA HUYU MWAMBA, KUMCHUKIA, KUMPONDEA, HAKUTA WASAIDIA KITU, KWENYE MAZURI SIFIENI.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad