AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Maneno ya producer mkongwe nchini, @masterjtz juu ya kile kinachosemwa na watu kuwa alicho kifanya @diamondplatnumz kwa @harmonize_tz ni msaada.
Lakini pia namna Diamond ambavyo amekuwa akiona halipwi fadhila na Konde Boy.
Master J amedai anachofanya Diamond si msaada ila ni biashara ndio maaana waliandikiana contract ,na hata kqma ungekuwa msaada basi haimaanishi mtu aje kukuabudu.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Na wewe acha nafiki, mbona wewe ulimuona hafai
ReplyDelete