Messi hakustaili tuzo ya Ballon d'Or - Toni Kroos, Iker Casillas

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Kiungo wa Real Madrid, Toni Kroos na Iker Casillas wameongoza kwa kukosoa maamuzi yaliyofanywa mpaka kumpatia tuzo ya Ballon d’Or, Lionel Messi wakisema hadharani bila kupepesa macho kuwa hakustahili.


Mastaa hao wa soka wamedai kuwa licha ya ubora aliyokuwa nao Messi lakini Robert Lewandowski alistahili zaidi kutokana na uwezo mkubwa aliyoweza kuuonyesha .

Mchezaji huyo wa Paris Saint-Germain amekuwa katika vita kubwa ya ushindani wa tuzo hiyo dhidi ya mshambuliaji wa Bayern Munich, Robert Lewandowski na kiungo wa Chelsea, Jorginho katika tuzo hizo za Ballon d’Or.

Messi ametwaa taji la Copa America 2021 akiwa na timu yake ya taifa, kinara wa magoli LaLiga kwa msimu wa 2020-21 akifunga mabao 30. Pia nyota huyo mwenye umri wa miaka 34 ameisaidia Barca kushinda Copa del Rey kabla ya kujiunga na PSG.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad