Kesi ya Makonda yatinga Mahakama Kuu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



KESI ya jinai iliyopangwa kufunguliwa dhidi ya aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Christian Makonda, imetinga kwa Jaji Mfawidhi, Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam, nchini Tanzania. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Taarifa zilizothibitishwa na wakili wa muombaji, Hekima Mwasipu zinasema, uamuzi wa kulipeleka suala hilo kwa Jaji Mfawidhi, umetokana na hatua ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni, kugoma kuirejesha tena kesi hiyo mahakamani.


 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad