Mlemavu, Ombaomba Ajenga Nyumba Mbili za Zaidi ya Tsh Mil 100

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mary Stephano ni mlemavu wa miguu ambaye shughuli yake kubwa ni ombaomba, kazi anayoifanya katikati ya jiji la Mwanza.
Mary amesema katika kazi hiyo ambayo anaendelea kuifanya amefanikiwa kujenga nyumba mbili (na zenye wapangaji zaidi ya 20), kununua viwanja vitatu na kufungua Bar, kusomesha mtoto wake katika chuo cha uhazili Tabora.

Mary ni mama wa watoto wanne (wakike mmoja) ambao wote aliwapata na baba tofauti, mme wake anayeishi nae kwa sasa ana watoto 12 ambao na yeye aliwapata kwa mama tofauti kabla ya kukutana na mama huyo.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad