AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mtangazaji na mwanamitandao maarufu kama DC wa insta Mwijaku ameshindwa kujizuia kusifia video mpya ya mwanamuziki Diamond Platnumz 'Unachezaje iliyotoka rasmi leo hii saa kadhaa zilizo pita.
Kupitia insta story yake Mwijaku ameshare sehemu ya video hiyo na kuandika ujumbe unao-onesha kukubali video hiyo iliyo ongozwa na director Ivan.
Ikumbukwe kuwa mtangazaji huyo mara kadhaa amekua akimkosoa msanii @diamondplatnumz wazi-wazi ,katika kazi zake za muziki na hata maisha binafsi
C©✍🏾@keviiiy.iam
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK