Wimbo wa Sukari Kutoka kwa Mwanamuziki Zuchu Umeshika Namba Moja Kenya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Wimbo wa Sukari kutoka kwa mwanamuziki @officialzuchu umeshika nafasi ya kwanza katika orodha ya nyimbo 10 zilizo tazamwa zaidi nchini kenya katika mtandao wa youtube.

Wimbo huo uliopandishwa katika mtandao wa YouTube January 10-mwaka huu pia unashikilia rekodi ya kuwa miongoni mwa nyimbo zilizo tazamwa zaidi barani afrika kwa mwaka 2021, ukiwa na zaidi ya watazamaji million 61 katika mtandao wa youtube.

Mbali na Zuchu pia wimbo wa Baikoko wa @mbosso_ ft @diamondplatnumz umeshika nafasi ya pili, ambapo ni wasanii wa 3 tu kutoka tanzania akiwemo muimbaji wa nyimbo za injili #RoseMuhando walio tokea katika orodha hiyo ya nyimbo 10 zilizo tazamwa zaidi nchini kenya kwa mwaka 2021.

C©✍🏾@keviiiy.iam


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad