Breaking News : Timu ya Simba Yamtangaza Afisa Habari Mpya Kubeba Mikoba ya Haji Manara

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Klabu ya Simba imemtangaza mtangazaji kijana @ahmedally_ kuwa Afisa Habari Mpya.

Kabla ya kutangazwa kuwa Afisa Habari wa Simba, Ahmed Ally alikuwa mtangazaji wa Azam TV, lakini kabla ya hapo aliwahi kufanya kazi kwa muda mrefu kwenye kampuni ya Sahara Media [Radio Free Africa na Star TV].

Hongera sana @ahmedally_ kila la heri kwenye majukumu yako mapya.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad