AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Club ya Yanga imetangaza kuwa Kiungo wao Mukoko Tonombe mwenye asili ya Congo DR anaondoka na kujiunga na TP Mazembe ya kwao Congo, Yanga hawajaweka wazi Mukoko kama ameenda kwa mkopo au ameuzwa jumla ila taarifa zilizopo alikuwa na mkataba wa miezi sita na Yanga.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK