AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
HitMaker wa ngoma ya Ode' @fobyofficial amefunguka kuwa mkali wa ngoma ya Beer tamu Toto bad @marioo_tz hawezi kuvikwa taji la mfalme wa muziki wa kizazi kipya /bongofleva (king of new generation) tanzania.
Kupitia mahojiano aliyoyafanya hivi karibuni, mwanamuziki huyo amedai kwamba msanii huyo hawezi kuwa mfalme wa muziki wa kizazi kipya/bongofleva ikiwa anaimba muziki wa Amapiano, kwakuwa mfalme anatakiwa kukuza na kufanya mziki husika (bongofleva) na si muziki kutoka tamaduni nyingine.
→Unadhani ni msanii gani kwa sasa anafaa kupewa taji la King of New Generation kwenye muziki wa Bongofleva..?
C©✍🏾@keviiiy.iam
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK