Foby Amkataa Marioo "Hawezi Kuwa King of New Generation Bongo Huku Anaomba Amapiano"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


HitMaker wa ngoma ya Ode' @fobyofficial amefunguka kuwa mkali wa ngoma ya Beer tamu Toto bad @marioo_tz hawezi kuvikwa taji la mfalme wa muziki wa kizazi kipya /bongofleva (king of new generation) tanzania.

Kupitia mahojiano aliyoyafanya hivi karibuni, mwanamuziki huyo amedai kwamba msanii huyo hawezi kuwa mfalme wa muziki wa kizazi kipya/bongofleva ikiwa anaimba muziki wa Amapiano, kwakuwa mfalme anatakiwa kukuza na kufanya mziki husika (bongofleva) na si muziki kutoka tamaduni nyingine.

→Unadhani ni msanii gani kwa sasa anafaa kupewa taji la King of New Generation kwenye muziki wa Bongofleva..?

C©✍🏾@keviiiy.iam

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad